Finding Teaching and Nursing Jobs in Tanzania: A Simple Guide

Wizara Ya Afya na elimu, Namna ya kuwasilisha maombi ya ajira

Maelekezo.

  • Tafadhali chagua aina ya maombi ya ajira kama ni AFYA au ELIMU
  • Kama ni muombaji mpya bofya kiunganishi cha juu kulia “Jisajili” kuanza kuomba
  • Ingiza namba ya NIDA au barua pepe kama jina la mtumiaji na uingize nywila yako kuingia ndani ya mfumo.
  • Baada ya kufanikiwa kuingia ndani, tafadhali kamilisha maombi yako kabla ya tarehe ya mwisho
  • Maombi yasiyokamilika hayatafanyiwa kazi
  • Hakikisha kabla ya kutuma maombi umesoma na kuelewa vizuri tangazo lilotolewa
  • Hakikisha vyeti ulivyo ambatanisha vinasomeka vizuri
  • Kuwasilisha taarifa za kughushi zitapelekea kuchukuliwa hatua za kisheria dhidi yako
  • Bofya hapa ili ujisajili kwa ajili ya kutuma maombi
  • Kwa Msaada Tafadhali piga simu huduma kwa mteja : 026-2160210 au 0735-160210

Ingia Kwenye Mfumo wa Maombi ya Ajira za Afya na Ualimu

READ MORE: