Nafasi 33 za kazi Wizara ya Afya – FUNDI SANIFU UJENZI II (TECHNICIAN CIVIL II)

POST DETAILS
POST: FUNDI SANIFU UJENZI II (TECHNICIAN CIVIL II) – 33 POST
EMPLOYER: Wizara ya Afya
CLOSING DATE: 2025-03-19

QUALIFICATION AND EXPERIENCE
i.Waliohitimu kidato cha VI na kufuzu mafunzo ya ufundi ya miaka miwili kutoka Chuo kinachotambuliwa na Serikali katika fani za fundi ujenzi;

ii.Waliohitimu kidato cha IV na kufuzu kozi ya ufundi ya miaka mitatu kutoka Vyuo vya Ufundi vinavyotambuliwa na Serikali katika fani za fundi ujenzi;

iii.Wenye Stashahada ya Kawaida katika fani za fundi ujenzi kutoka Chuo kinachotambuliwa na Serikali

READ MORE AND APPLY HERE.

READ MORE: