JOB DETAILS
POST: DAKTARI BINGWA DARAJA II (PEDITRICIAN II) – 4 POST
EMPLOYER: Wizara ya Afya
APPLICATION TIMELINE: 2025-03-06 2025-03-19
QUALIFICATION AND EXPERIENCE
Kuajiriwa wenye shahada ya uzamili ya Udaktari Bingwa katika fani ya Peditriacs (M.Med au PhD kwenye fani ya Udaktari) ya miaka mitatu au zaidi kutoka vyuo vikuu vinavyotambuliwa na Serikali. Wawe wamesajiliwa na Baraza la Madaktari Tanganyika (Medical Council of Tanganyika).